Dhamana ya Uwekezaji Tanzania ilianzishwa tarehe 19 juni, 2003. Tangu kuanzishwa kwake, Dhamana ya Uwekezaji Tanzania imeendelea kutekeleza madhumuni yake. Mojwapo ya madhumuni ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania ni kuanzisha na kuendesha mifuko ya uwekezaji wa pamoja hapa nchini. Katika kufanikisha madhumuni yake, Dhamana ya Uwekezaji Tanzania imeweza kupata mafanikio ya kuanzisha mifuko mitano ya uwekezaji wa pamoja, ambayo hadi kufikia tarehe 08/07/2013 imekuwa na jumla ya wawekezaji hai wapatao 91,516.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hamis Kibola akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu shughuli za mfuko huo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2003 ambapo unatimiza miaka 10. Kushoto ni Kaimu Ofisa Uendeshaji Mkuu Uwekezaji, Rashid Mchatta. 
 CEO, Hamis Kibola akifafanua jambo.
 Ofisa Uendeshaji Mkuu, Asset Management & Investor Services akifafanua jambo.
 Dk. Gration Kamugisha Acting CEO, Project
 James Washima akifafanua jambo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2013

    Well done UTT, mmewasaidia watu wengi sana nchini kwenye masuala ya uwekezaji hilo halina ubishi, ila kazeni buti kwenye kutoa elimu zaidi kwa watanzania wengi hasa wa vijijini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...