Mshambuliaji Machachari wa timu ya Taifa (Taifa Stars),Amri Kiemba (kushoto) akijaribu kutana kuwatoka mabeki wa timu ya Uganda ( The Cranes) katika mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN),unaochezwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za mchezo zimemalizika hivi punde huku timu zote zikiwa hazijaliona lango la mwenzake.endelea kufuatilia Libeneke la Globu ya Jamii kwa Matukio mbali mbali ya mtanange huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2013

    Kufungwa kubaya sana wajameni!

    Yaani Jezi yetu ilivyo kuwa na rangi nzuri na za kuvutia Blues na green lakini ndio sisi mpaka mbele za wala Matoke na Mihogo kwa Mchuzi wa Karanga Waganda ndio sisi Vibonde?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...