Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema akimkabidhi zawadi Rais wa Mahakama ya Rufani ya Ushelisheli Mh. jaji Francis MacGregor wakati alipomkaribisha ofisini kwake  jijini Dar-es-salaam. 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema na Rais wa Mahakama ya Rufani ya Ushelisheli Mh. Jaji Francis MacGregor kwenye picha ya pamoja na viongozi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema akimsindikiza mgeni wake Rais wa Mahakama ya Rufani ya Ushelisheli Mh. Jaji Francis MacGregory baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake. Picha na Abuu Kimario

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...