MBEYA MANAGEMENT CONSULTANTS CERTIFIED ACCOUNTANTS IN PUBLIC PRACTICE

Tunatangaza nafasi ya kazi ya mwasibu aliyehitimu chuo kikuu na kupata shahada au stashahada ya Accountancy

Vigezo:
Awe na GPA isiyopungua 3.2 points
Awe na Advance Diploma in Accountancy or B.Com in accountancy or Bachelor of Accountancy or Bachelor of Accountancy and Finance.

Mwombaji atume application letter, CV, Pamoja na attachment za vyeti copy kwenda kwenye email address: swayzlight@yahoo.com or gstanzanie@yahoo.com 

 Mwisho wa maombi ni tarehe 2/08/2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...