Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (hawapo pichani) alipotembelea mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mpya wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeje akisoma taarifa kwa naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge alipotembelea mamlaka hiyo.
Meneja fedha na utawala wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce Msiru akijitambulisha kwa naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge hayupo pichani wakati wa kikao chake na wafanyakazi wa mamlaka hiyo.
Afisa mapato wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) brucevictor Sangawe kijitambulisha kwa naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge hayupo pichani wakati wa kikao chake na wafanyakazi wa mamlaka hiyo.
Wafanyakazi wa mamlaka ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) wakifuatilia hotuba ya naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge alipotembelea mamlaka hiyo.
Waandishi wa habari wakifuatilia hotuba ya naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge alipotembelea mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA).Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...