Naibu waziri wa maji Dk Mahenge akiangalia na kupokea maelezo toka kwa wafanyakazi wa MUWSA katika chanzo cha maji cha Nsere mkoani Kilimanjaro.
Chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya maji katika chanzo cha maji cha Nsere mkoani Kilimanjaro.
Naibu waziri wa maji Dk Mahenge akiangalia na kupokea maelezo toka kwa wafanyakazi wa MUWSA katika mradi wa kisima cha maji kinachochimbwa katika eneo la Longuo manispaa ya Moshi.
Mitambo ya kuchimbia kisima katika eneo la Longuo mradi unaosimamiwa na mamlaka ya maji sai na usafi wa mazingira mjini Moshi( MUWSA).Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...