Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mkuki katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera Julai 25, 2013
Rais Jakaya Kikwete akitembelea makaburi ya mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita na Nduli Iddi Amini wa Uganda.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
RIP Makamanda wetu japo familia zenu zilisaulika!
ReplyDeleteKama kawaida. Unatambulika mchango wako wakati umekufa. Inamsaidia nani? Mbona tusi wa enzi wangali na kujienzi tungali hai? Mtu akitenda jema tuseme naye atembee kifua mbele kwa furaha, na azidi kutenda mema.
ReplyDelete