Mwandishi wa habari wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa, Joseph Msami akifanya mahojiano na Rais mstaafu wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Hivi karibuni Mwandishi wa Habari wa Idhaa Ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa,Joseph Msami, alipata nafasi ya kukutana na kufanya mahojiano na Rais Mstaafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi ambapo waliongelea mambo kadhaa na hususani umuhimu wa lugha ya Kiswahili. Mahojiano hayo yalifanyika kandoni mwa tamasha la Utamaduni wa Lugha hiyo lililofanyika jijini Washington,DC mwishoni mwa wiki.
Kusikiliza mahojiano hayo tembelea
Blog dada ya Globu ya Jamii, BongoCelebrity
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...