Rais mpya wa klabu ya Rotary ya Mzizima Dar es Salaam, Rotarian Ambrose Nshala, akihutubia katika hafla ya kumsimika rais mpya wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Rais huyo amechaguliwa kwa mwaka wa pili kushika uongozi huo. Wengine kutoka kushoto ni Gavana Mstaafu, Amu Shah, Theodosia Muhulo ambaye ni mke wa rais huo na Gavana Msaidizi wa Rotary, Irene Kamau.
Rais wa klabu ya Rotary ya Mzizima Dar es salaam, Rotarian Ambrose Nshala(kulia), akimvisha pini rotarian mpya, Mhandisi Dennis katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Rais wa klabu ya Rotary ya Mzizima Dar es Salaam, Rotarian Ambrose Nshala (kulia), akimpa nyaraka rotarian mpya wa klabu hiyo, Paul Mashauri katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam.
Rais wa Rotary klabu ya Mzizima, Rotarian Ambrose Nshala (kushoto) akiwaongoza wanachama wengine wa klabu hiyo kuselebuka katika hafla ya kmsimika rais na viongozi wengine wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...