MWENYEKITI wa Taasisi ya Habari Kusini mwa Afrika kanda ya Tanzania (MISATAN), Mohammed Tibanyendera akizungumza muda mfupi kabla mkaribisha Balozi wa Cananda Nchini Tanzania, Alexandre Leveque kufungua mafunzo ya Waandishi wa Habari wa Tanzania kutoka vyombo mbali mbali yaliyoandaliwa na MISATAN kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada Nchini ,mafunzo hayo yalifanyika katika kituo cha British Council Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Leveque akifungua mafunzo ya siku moja kwa Waandishi wa Habari wa Tanzania kutoka vyombo mbali mbali yaliyoandaliwa na Taasisi ya Habari Kusini mwa Afrika kanda ya Tanzania (MISATAN) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada Nchini ,mafunzo hayo yalifanyika katika kituo cha British Council Jijini Dar es Salaam .Kulia Mwenyekiti wa MISATAN, Mohammed Tibanyendera.
WAANDISHI mbali mbali wakimsikiliza Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Leveque (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo ya Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali yaliyoandaliwa na MISATAN kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada Nchini , mafunzo hayo yalifanyika katika kituo cha British Council Jijini Dar es Salaam.Picha na Haroub Hussein.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...