Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa kushoto akiwa na Mwenyekiti na  Rais  wa Benki ya Export Import ya Korea  wakionyesha mkataba wa mkopo wenye thamani ya shilingi billioni 87 za kitanzania,waliosaini kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam.
 Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa kushoto akiwa na Mwenyekiti na  Rais  wa Benki ya Export Import ya Korea  wakionyesha mkataba wa mkopo wenye thamani ya shilingi billioni 87 za kitanzania,waliosaini kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam.
 Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa (kushoto)akimpa mkono wa shukrani Mwenyekiti na  Rais  wa Benki ya Export Import ya Korea baada ya  kusaini  mkataba wa mkopo kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Dickson Maimu (wa tatu kushoto ) na Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export and Import Korea  Yong Hwan Kim(wa pili kulia)wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka hiyo baada ya halfa ya kusaini Mkataba wa Mkopo kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhia vitambulisho vya Taifa, leo jijini Dar Es Salaam.
 Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa (wa pili kushoto),Balozi wa Korea nchini Chung Il(wa kwanza kulia),Mwenyekiti na Raisi wa Benki ya Export and Import Korea Yong Hwan Kim(wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Fedha(Sera) Saada Salum(kushoto), wakiwa  katika picha ya pamoja baada ya hafla ya kusaini mkataba wa mkopo wa Kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa kutoka Benki ya Export and Import Korea.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export and Import ya Korea baada ya hafla ya kusaini iliyofanyika Wizara ya Fedha leo jijini Dar Es Salaam. 
 Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa  akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Serikali ya Tanzania  kwa Mwenyekiti na  Rais  wa Benki ya Export Import ya Korea baada ya kusaini mkataba wa mkopo kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export and Import ya Korea baada ya hafla ya kusaini iliyofanyika Wizara ya Fedha leo jijini Dar Es Salaam.picha zote na Lorietha Laurence-Maelezo).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2013

    Huwa siielewi nchi yangu.. Kila kitu mkopo! Ata vitu kama hivi!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2013

    Omba omba

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 18, 2013

    This is indeed a progress towards the right direction for the development of the nation. Keep it up NIDA and the rest for believing and undertaking this initiative.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...