Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akimsikiliza Meneja Uhusiano wa TTCL,Bw. Amin Mbaga wakati alipotembelea banda hilo kabla ya kufunga maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) jijini Dar es Salaam jana.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akimkabidhi Meneja Uhusiano Bw. Amin Mbaga tuzo ya ushindi katika sekta ya habari na mawasiliano.
wafanyakazi wa TTCL katika Picha ya pamoja baada ya kupokea tuzo ya Ushindi katika maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) jijini Dar es Salaam jana.
Wafanyakazi wa TTCL wakiwa ndani ya banda lao pamoja na tuzo ya ushindi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...