Ujenzi wa soko jipya na la kisasa Afrika Mashariki ,lililopo kando kando ya barabara iendayo Air Port ukiendelea ndani ya jijini la Mwanza,kama lionekanvyo mara baada ya kunaswa na kamera ya Globu ya jamii iliyokuwa ikijivinjari hapa na pale jijini humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...