Mshambuliaji wa Simba, Marcel Boniventure akichuana na beki wa URA ya Uganda, Walulya Derrick  katika mchezo wa kimatifa wa kirafiki uliofanyika le okwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. URA imeshinda 2-1. (Picha na Habari Mseto Blog)
Mshambuliaji wa Simba, Marcel Boniventure akitafuta mbinu za kumtoka beki wa URA ya Uganda, Walulya Derrick.
Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akishangilia bao pekee aliloifungia timu yake katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki dhidi ya URA ya Uganda. 
 Heka heka katika lango la URA. 

 Beki wa URA, Mugabi Jonathan akitoka nje baada ya kuumia.
Waamuzi wa mchezo huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2013

    Ngoja kidogo ! huyu nyuma ya marefa si ras makunja au macho yangu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...