Afisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein wapili toka kushoto na Meneja ukuzaji wa biashara ya huduma ya M PESA wa Vodacom Tanzania,Moses Krom,wakimshuhudia Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akizungusha gurudumu lenye majina ya washiriki wa Promosheni ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba na kujishindia zawadi ya shilingi Elfu 40 sanjari na muda wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku ambapo washindi watano walipatikana,Promosheni hiyo inaendeshwa na Vodacom Tanzania wakati wa maonesho ya 37 ya kimataifa ya sabasaba.
Afisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu wakiweka karatasi zenye majina ya washiriki wa Promosheni ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba na kujishindia zawadi ya shilingi Elfu 40 sanjari na muda wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku ambapo washindi watano walipatikana, Promosheni hiyo inaendeshwa na Vodacom Tanzania wakati wa maonesho ya 37 ya kimataifa ya sabasaba,anaeshuhudia kulia ni Meneja ukuzaji wa biashara ya huduma ya M PESA wa Vodacom Tanzania,Moses Krom.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...