Wazira wa Afya Juma Duni Haji, akifungua Mkutano wa Wauguzi wa Afrika Mashariki kulia Clavery Mpandana Muguzi Mkuu Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi Afrika Mashariki kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Afya Muhamed Saleh Jidawi. Mkutano huo uliofanyika Hoteli ya Oceanview nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Badhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Wauguzi wa Afrika Mashariki wakifuatilia hutuba ya ufunguzi iliyotolewa na Waziri wa Afya Juma Duni Haji, huko Hoteli ya Ocean view nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Afya Juma Duni, katikati waliokaa akiwa katika Picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano wa Wauguzi wa Afrika Mashariki uliofanyika katika Hoteli ya Ocean view nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Picha na Makame Mshenga- Maelezo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...