Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe (kulia)akikata utepe kuzindua rasmi kitabu hicho(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba(kushoto) Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mthias Chikawe (kulia)akionesha kitabu hicho mara baada ya kukizindua(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba(kushoto) Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi.
Waandishi wa habari wakisikiza kwa umakini hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe:Mathias Chikawe. wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho (Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania)kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji Tanzania, Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba.
Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...