Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania Bibi Vibeke Jensen kulia alipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga na kushukuru kwa ushirikiano ulioonyeshwa na Waziri Mukungara muda wote wa uwakilishi wake hapa nchini.Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko.
 Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania Bibi Vibeke Jensen alipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga na kushukuru kwa ushirikiano ulioonyeshwa na Waziri Mukungara muda wote wa uwakilishi wake hapa nchini, wa kwanza kulia ni Mtaalam wa Elimu kutoka UNESCO Abdoul W Coulibaly, Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko.

 Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (Kushoto) akizungumza na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania Bibi Vibeke Jensen alipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga na kumshukuru kwa ushirikiano ulioonyeshwa na Waziri Mukungara muda wote wa uwakilishi wake hapa nchini.
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (Kushoto) akiagana  na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania Bibi Vibeke Jensen alipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga na kumshukuru kwa ushirikiano ulioonyeshwa na Waziri Mukungara muda wote wa uwakilishi wake hapa nchini.Picha  zote na  Frank Shija - Maelezo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2013

    Huyu mama staili yake ya kusuka huwa inanivutia, anaonekana hana makuu.

    Nampongeza kwa niaba ya wasiopenda makuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...