Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga (kushoto aliyesimama) akijibu maswali mbalimbali ya mteja ambaye alitembelea banda la Wizara hiyo katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya maofisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa tayari kwa kujibu maswali mbalimbali ya wananchi wanaotembelea banda la wizara hiyo katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi likionekana kwa nje. (Picha na Felix Mwagara)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...