Afisa mauzo wa Airtel, Bw Salehe Safi akimkabidhi Bibi Saada Omary moja ya zawadi zilizotolewa na kampuni za simu za mkononi ya Airtel kwenye kituo cha watoto yatima kinachofahamika kwa jina la Mwana Orphanage Center kilichopo Vingunguti jijini Dar es salaam. AIRTEL ilitoa sukari, mchele, mafuta, sabuni, maziwa na Unga wa ngano kwaajili ya kusheherekea sikukuu ya IDDI.
Baadhi ya watoto yatima katika kituo cha Mwana Orphanage kilichopo maeneo ya Vingunguti jijini Dar es salaam, wakiwa wameshikilia baadhi ya zawadi walizokabidhiwa na kampuni ya simu za mkoni Airtel Tanzania. AIRTEL ilitoa sukari, mchele, mafuta, sabuni, maziwa na Unga wa ngano kwaajili ya kusheherekea sikukuu ya IDDI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...