Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na Bi. Uma Wijnants Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Kerk in Nood linalosaidia shughuli za kijamii ulimwenguni. Balozi Dr. Kamala amelishukuru shirika hilo kwa misaada mbalimbali ambayo limekua likitoa na ameliomba kutoa misaada hiyo kwa taasisi mbalimbali za Tanzania zinazofanya kazi ya kupambana na umaskini.
Home
Unlabelled
Balozi Dr. Kamala akutana na Mkurugenzi wa shirika la Kerk in Nood la Ubelgiji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...