Balozi wa Tanzania Ubelgiji Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala akimsikiliza Bibi Andrea Borgs Mratibu wa Taasisi ya Ex-Change ya Ubelgiji aliyemtembelea leo ofisini kwake Brussels. Taasisi ya Ex-Change imeomba Taasisi na Kampuni za Tanzania zinazohitaji ushauri katika masuala mbalimbali kutuma maombi. Taasisi hiyo inagharamia wataalamu hao kwenda na kurudi kutoka Tanzania. Taarifa zaidi zinapatikana www.ex-change.be. Mwaka 2013 Taasisi hiyo imetoa ushauri kwa Kampuni za Kitanzania 14. Kwa Afrika, walitoa ushauri kwa kampuni 207.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala akutana na Mratibu wa Taasisi ya Ex-Change ya Ubelgiji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...