Balozi wa Tanzania Ubelgiji Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala akimsikiliza Bibi Andrea Borgs Mratibu wa Taasisi ya Ex-Change ya Ubelgiji aliyemtembelea leo ofisini kwake Brussels. Taasisi ya Ex-Change imeomba Taasisi na Kampuni za Tanzania zinazohitaji ushauri katika masuala mbalimbali kutuma maombi. Taasisi hiyo inagharamia wataalamu hao kwenda na kurudi kutoka Tanzania. Taarifa zaidi zinapatikana www.ex-change.be. Mwaka 2013 Taasisi hiyo imetoa ushauri kwa Kampuni za Kitanzania 14. Kwa Afrika, walitoa ushauri kwa kampuni 207.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...