Gwaride Rasmi likitoa heshima na kupiga wimbo wa Taifa wa Tanzania na Ethiopia
Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwa na Mkuu wa Itifaki wa Ethiopia
Mhe. Balozi Naimi Aziz akiweka sahihi kwenye kitabu maalum cha wageni
Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwasilisha hati za utambulisho kwa Mhe. Girma Wolde Giorgis, Rais wa Ethiopia
Mhe. Balozi Naimi Aziz akifanya mazungumzo na Rais Girma Wolde Giorgis wa Ethiopia
Mhe. Balozi Naimi Aziz akikaribishwa na Maafisa Ubalozi katika ofisi ya Ubalozi
Picha ya pamoja na Maafisa wa Ubalozi
Mhe. Balozi Naimi Aziz akifanya kikao cha kwanza na Maafisa wa Ubalozi
Africa tuna Marais wachovu kwa hali na namna,si mchezo! Woga wa kuwapa vijana uongozi kulikoni?
ReplyDeleteHongera sana Mhe. Balozi Naimi Aziz, tunakutakia kila la kheri katika majukumu mapya uliyopewa na Mhe. Rais.
ReplyDeletemhhh ikulu ya Ethiopia wameshindwa kununua red carpet au vipi?
ReplyDeleteMbona wametandika mswala au Carpet la msikitini au macho yangu mabovu?
Hongera sana Naimi, Mungu akuongoze na ufanye kazi yako vizuri, na uzidi kwenda juu, am really proud of you!. Former colleague from Kibosho Girls Sch
ReplyDelete