Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Chen Qiiman Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Balozi Chen anakaribia kumaliza muda wa utumishi wake wa Ubalozi wa miaka miwili na nusu hapa Zanzibar.
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar akipokea zawadi wa mlango kutyoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kama ishara ya kufunguliwa mlango wa kuingia Zanzibar wakati wowote licha ya kwamba anamaliza muda wake wa utumishi hapa Nchini. Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...