Afisa Mtendaji Mkuu na Mshauri Mwelekezi katika Mradi wa Utengenezaji Kofia Ngumu katika Gereza Kuu la Ukonga, Bw. Alpherio Nchimbi(kushoto)akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo na Mifugo, Eng. Christopher Chiza(kulia)namna Kofia hizo zilivyo na ubora alipotembelea Banda la Magereza leo Agosti 01,2013(wa tatu toka kulia) ni Kamishna wa Magereza anayeongoza Divisheni ya Urekebishaji, Deonice Chamulesile. Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza.
Home
Unlabelled
banda la magereza katika maonesho ya nane nane dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...