Afisa Mtendaji Mkuu na Mshauri Mwelekezi katika Mradi wa Utengenezaji Kofia Ngumu katika Gereza Kuu la Ukonga, Bw. Alpherio Nchimbi(kushoto)akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo na Mifugo, Eng. Christopher Chiza(kulia)namna Kofia hizo zilivyo na ubora alipotembelea Banda la Magereza leo Agosti 01,2013(wa tatu toka kulia) ni Kamishna wa Magereza anayeongoza Divisheni ya Urekebishaji, Deonice Chamulesile. Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza.
Waziri wa Kilimo na Mifugo, Mhe. Eng. Christopher Chiza akiangalia Kiatu cha ngozi kilichotengenezwa katika Kiwanda cha Magereza kilichopo Gereza Karanga, Moshi leo Agosti 01, alipotembelea Banda la Magereza katika Viwanja vya Nzuguni, Mkoani Dodoma



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...