Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza wakati wa wakati wa uzinduzi wa mikopo ya nyumba ijulikanayo kwa jina
ya ‘Jijenge’ itakakayoanza kutolewa na benki hiyo. Uzinduzi huo ulifanyika
jijini Dar es Salaam.
Meneja wa benki ya CRDB anayeshughulikia mikopo ya nyumba 'Jijenge,' Silas Katemi akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mikopo hiyo.
Baadhi ya maofisa wa benki ya CRDB wakiwa na waalikwa katika hafla hiyo. Kwa habari kamili na picha BOFYA HAPA


No wonder the Tanzanite account isn't doing well eish!
ReplyDeleteUdumu sana Mr Kimei. Mungu akuzidishie umri mrefu ili ulete maendeleo zaidi kwa watanzania.
ReplyDeleteI kid you not only in Tanzania watu hawana haya kiasi hiki.....Tanzanite account oyeeeeee
ReplyDeleteHivi mnahitaji mtu alete au aweke rehani hatu ya kiwanja hapo crdb akipata mkopo au? Ni salary slip na thamani ya nyumba yaani gharama tu. Tuambieni ribe ikoje. Masharti nafuu, mkoo juu. Hongereni sana. Sasa tutajenga viwanja tumenunua miaka mingi hatuna mihela.
ReplyDeleteWow congrats!Great incentive however interest rate of 18% compared to Europe less than 10% still very high. Without insurance it was risky so 18 or even 25% was okay but since at long last you have introduced insurance like developing countries then consideration should be given to lower the interest rate. Thank you.
ReplyDelete