Meneja wa KCB  Bank Tawi la Stone Town mjini Zanzibar, Cosmas Mwankemwa akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi msaada wa vifaa vya kuhifadhia watoto wachanga ambao hawakutimia umri wa kuzaliwa "njiti" kwaajili ya hospitali ya Kivunge Zanzibar jana vikiwa na thamani ya sh.12 milion
 Meneja wa Benki ya KCB Tawi la stone Town Zanzibar, Cosmas Mwankemwa (kulia) akikabidhi vifaa vya kuhifadhia watoto wachanga ambao hawakutimia umri "njiti" kwa  Dk.Yussuf Haji,ikiwa ni dhamana ya hospitali ya Kivunge Zanzibar jana vikiwa na thamani ya sh.12 milioni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...