Meneja wa KCB Bank Tawi la Stone Town mjini Zanzibar, Cosmas Mwankemwa akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi msaada wa vifaa vya kuhifadhia watoto wachanga ambao hawakutimia umri wa kuzaliwa "njiti" kwaajili ya hospitali ya Kivunge Zanzibar jana vikiwa na thamani ya sh.12 milion
Meneja wa Benki ya KCB Tawi la stone Town Zanzibar, Cosmas Mwankemwa (kulia) akikabidhi vifaa vya kuhifadhia watoto wachanga ambao hawakutimia umri "njiti" kwa Dk.Yussuf Haji,ikiwa ni dhamana ya hospitali ya Kivunge Zanzibar jana vikiwa na thamani ya sh.12 milioni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...