BENDI ya Diamond Musica na Five Star Modern Taarab usiku wa kuamkia leo ziliwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria katika onyesho la pamoja lililofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS / GPL)
(PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS / GPL)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...