Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, akiwapagawisha amlefu ya mashambiki waliohudhuria tamasha la Valuvalu katika ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania.
Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, akiwa na baadhi ya mashambiki kwenye jukwaa ambao walihudhuria tamasha la Valuvalu katika ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania.
Maelfu ya mashambiki was muziki wakifurahia nyimbo wakati wa tamasha la Valuvalu lililofanyika kwenye ukumbi wa Escape Complex jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya Prime Time Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania. Msanii kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Jose Chameleone, ndiye aliyekuwa msanii rasmi wakati wa tamasha hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...