Ndugu wananchi;
Kama ilivyo
ada naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehma, kwa kutujalia
uzima na kutuwezesha kwa mara nyingine tena kutekeleza utaratibu wetu huu mzuri
tuliojiwekea wa Rais kuzungumza na taifa kila
mwisho wa mwezi.
Ndugu Wananchi;
Mwezi Julai,
2013 ulikuwa wa neema kubwa ya wageni kwa nchi yetu wakiwemo watu na viongozi
mashuhuri duniani. Natoa shukrani nyingi kwa Watanzania wenzangu kwa jinsi
tulivyowapokea wageni wetu zaidi ya 1,700.
Wamefurahi kuwepo kwao nchini na wameondoka wakiwa na kumbukumbu nzuri
ya nchi yetu. Wageni wetu wamekuwa wa
manufaa makubwa kwa nchi yetu.
Wamesaidia kuitangaza Tanzania duniani na kuendeleza fursa za kukuza
utalii, biashara na uwekezaji nchini na kwingineko katika Afrika.
nimeipenda hotuba hii
ReplyDeletejk ukiacha Obama anafuata niwewe!
ReplyDeletebig up jk!!
Mheshimiwa Raisi na wananchi wa Tanzania napenda kutowa hongera sana kwa kuangaria mbali na siyo karibu au pa fupi maana ukisiliza hutuba hii inakuonyesha kwamba nani ni kiongozi na nani ametoka kwenye nchi ya watu wenye kuelewa maana ya maisha au ubinadamu ,Raisi Kikwete ametowa hutuba ya Uraisi na siyo hutuba ya kijinga kama iliyotolewa na Raisi kagame na baadhi ya watu wake alionao serikarini,wapende wasipende ukweli uko pale pale kama Raisi Museveni aliweza kuongea na baadhiya viongozi au makundi yaliyokuwa yanampinga je itakuwaje Raisi Kageme ashindwe kuelewa nini Raisi mwenziwe alicho kuwa akikisema, kwa kweli ushauri ulikuwa ni wa bure na pia kuna makundi ya watu wanaoipinga serikali yake ambao anaweza kuongea nao na pili congo ni ya wacongo si ya watusi au wahutu,Raisi nashukuru sana kwa hutuba yako nzuri sana imetupa nguvu na imeonyesha umekomaa kisiasa na uko na busara, waswahili usema damu ni nzito kuliko maji ,NINGEPENDA kumwambia kagame sisi hatuwezi kupiga kelele kama wewe sikiliza hutuba ya Raisi kikwete ukaa chini ufikirihe ungefanya nini wakati mwenzio alipokupa ushauri wa bure,serikari yako imetutukana sana sisi watanzania tunasema kama unataka amani tutaenda njia moja na ukifikiria Tanzania ni congo hiyo ni ndoto
ReplyDeleteHongera Raisi kwa kuwa kiongozi mwenye Busara na hekima na kuwa kiongozi shupavu sisi tuko nyuma yako na kama wanyarwnada wanataka kuleta mchezo wajaribu ndio watajuwa watoto wa mwalimu na wajukuu wa mwalimu si watu wa kuchezewa,mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa,
yusef
Probably this is one of the best "wananchi speach" President JK
ReplyDeletehad ever deliver to us, comparing to the past.
His awareness of past and future development of our nation`s infurstructure & economy.
Global leaders and friends
recently visiting and invest in our country.
The most interesting part of his speach last but at least is well caculeted diplomacy responce to our neighbouring countries
avoiding further misundrstandings & retaliation of lowless & aimless words while we still need each other socialy & economicaly as East & Central Africa partners.
Finaly with his kind words to us
"wananchi" assurring us Tanzania is safe and still concetrating with it`s foreign policy.
He ask each & every citizen play to Almighty-God to protect & bless Tanzania & Africa as a whole.
Mickey "Mikidadi" Jones
Denmark
Pamoja na wtnzania wengi, wenye uchu wa mali na madaraka, kumchukia Mhe Rais, lakini ukweli utabaki pale pale, huyu ni Raisi mwema mpaka sasa hivi hajawahi kutokea nchini mwetu, Ni mstaarabu sana, lugha za kistaarabu viongozi wengi duniani hawana, ukweli uko wazi Kagame ni mtu asiyeambilika, pia anahamu sana na tanzania, amewafanya raia wake, kuwa kama kuku kwa kumuogopa, sisi tutachapa wewe!
ReplyDelete