kutoka kushoto ni Habiba na mwanae Mrs Mtalemwa, Farida na Asha katika picha ya pamoja Jumamosi Aug 3, 2013 wakati Farida na Habiba na familia zao waliposoma kisomo cha kumuombea marehemu baba yao Mzee Said Jetha Mwanahanji aliyefariki July 2011, Dar Es Salaam, Tanzania. Kisomo kilifanyika Silver Spring, Maryland na kuambatana na futari ya pamoja iliyoandaliwa na Farida Catering ambayo inamilikiwa na Farida.
Baada ya kisomo Ally Mussa (wapili toka kushoto mwenye mic) aliongoza swala ya magharibi kabla ya kufuturu iliyofanyika Silver Spring, Maryland
WanaDMV wakiendelea na swala ya magharibi.
Swala ikiendelea.
Juu na chini wakina mama wakiendelea na swala.
Swala ikiendelea baada ya kisomo cha marehemu mzee Said Jetha Mwanahanji
Kutoka kushoto ni Seif, Shekh Omar na Mpwa katika picha ya pamoja kabla ya kisomo kuanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...