Padri Zenobius Mtewele akiongoza ibada ya kumbukumbu.
Eric Shigongo akiwa katika maombi.
Waumini wakifuatilia ibada.
Mke wa marehemu, Asteria Bukumbi akipewa komunio.
Mtoto wa marehemu, Masha Bukumbi (kushoto) akiteta jambo.
Padri akifunga ibada kwa sala.
Shigongo akisalimiana na waalikwa.

Mkurugenzi wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric James Shigongo na familia yake jana waliandaa kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kufariki dunia kwa baba yao mzazi, Mzee James Bukumbi nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar. Marehemu Mzee James Bukumbi alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili, Agosti 26, 2012 jijini Dar es Salaam. Katika kumbukumbu hiyo, kulikuwa na ibada ambapo watu mbalimbali walijumuika na familia ya Shigongo.
(PICHA NA HABARI: HARUNI SANCHAWA /GPL)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...