Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Usishangae wachinaKuimba kipare lakini wanachokitaka kwetu wakipate.

    ReplyDelete
  2. hapo umeosema ndugu yangu,wapo tayari kwa lolote mradi wapate watakalo,wakati sis tukishangaa wao wameshamaliza walilojia,akili kichwani

    ReplyDelete
  3. hahaaa.... beautiful voices :) :) :)
    Ila kuna kamstari wanachapia hahaaa

    "Nasindwa" na mali sina weee

    Well done kwa kweli

    ReplyDelete
  4. Vipi kuna mtanzania anayeweza hata kutamka neno "malaika" kwa kichina?

    ReplyDelete
  5. ha ha ha ha hahaaaa Hapo wana akili kicwani wanajua wimbo hauendi bure.Chazea makapitalist weye uchekwe

    ReplyDelete
  6. Anon hapo juu

    ndio neno malaika kwa kichina linaitwa Tianshi(天使)
    Uliza swali jingine mi jomba chilingi nawesa sema yote.

    Katembo Mapunda

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...