Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa rasmi kwenye mkutano wa "High Level Group" na Dr. Sheila Tlou, Mkurugenzi wa UNAIDS Regional Support Team kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika katika siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Gaberone nchini Botswana tarehe 31.7.2013.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete akifunga rasmi mkutano wa High Level Group uliokuwa unafanyika kwenye hoteli ya Lasmore nchini Botswana tarehe 31.7.2013.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wakisoma jarida linalochapishwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, huku wakiendelea na mkutano.
Ni heshima kubwa kwa taifa letu kwa Mama Kikwete kuchaguliwa kuwa kiongozi Wa mkutano huu muhimu Wa kimataifa. Hakika juhudi zake za kuwasaidia wanawake na watoto zimemfanya atambulike na kukubalika kimataifa kwani ni yeye peke yake kati ya wake za maraisi kutoka africa yote aliechaguliwa kuongoza mmkutano huu Wa UN. Viva Mama.
ReplyDelete