Heshima za mwisho kwa mwili wa Maremu Erasto Msuya.


 Nyumba ya milele ya marehemu Erasto Msuya ikiandaliwa.

Ni siku takribani sita zimepita tangu mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aliyefahamika kwa jina la Erasto Msuya kupigwa risasi na kufariki dunia papo hapo katika eneo la Bomang'ombe karibu na njia panda ya KIA (Kilimanjaro International Airport), leo ni siku ya mazishi ya mfanyabiashara huyo ambaye alikua akiishi jijini Arusha maeneo ya kwa Iddi. Jana jumatatu utaratibu wa kuuaga mwili wa marehemu nyumbani kwake ulifanyika na leo Jumanne umepelekwa kuzikwa huko Mirerani katika kijiji cha Kairo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...