Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake tayari kwa kukata keki ya sherehe ya kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake tarehe 26 Agosti,aliyoandaliwa na mkewe mama Regina Lowassa huko Hekima Garden mikocheni,jijini Dar.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake,Mkewe Mama Regina Lowassa pamoja na mtoto wake Freddy Lowassa (kushoto) ambaye pia naye siku hiyo ilikuwa siku yake ya kuzaliwa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimlisha kipande cha keki Mkewe,Mama Regina Lowassa.
Mama nae akimlisha keki mzee ikiwa ni sehemu ya pondezi.
mtoto akimlisha keki Baba ikiwa ni sehemu ya kujipongeza kwa pamoja kwa kuzaliwa tarehe moja,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Happy Birthday dear PM.

    ReplyDelete
  2. Happy birthday our next president

    ReplyDelete
  3. Mdau wa pili ushindwe na ulegee.

    ReplyDelete
  4. mdau wa tatu elekea upepo uvumapo shauri yako!!! ndiyo khali halisi... Long live Mh. EL n FL.

    ReplyDelete
  5. Happy birthday my next presidento

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...