Marehemu Mama Cecilia Joyce Sichalwe
Ndugu wanafamiia na marafiki,
Tarehe 16/08/2013 (ijumaa) kuamkia 17/08/2013 lushoto, kutakua na mkesha wa 40 na kuafuatiwa na misa ya arobaini ya mama yetu mpendwa Cecilia Joyce Sichalwe.
Kwaniaba ya familia nawakaribisha wote mjumuike nasi nyumbani lushoto(Jaegestal Magharibi farm).
Bwana ametoa,bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
Familia ya Mzee Mambo & Sichalwe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...