| Wasanii wa bendi ya msondo wakiwajibika wakati wa onesho lao kutoka kushoto ni Abdul Ridhiwani,Eddo Sanga,Othumani Kambi na Juma Katundu |
| Wasanii wa bendi ya msondo wakiwajibika wakati wa onesho lao kutoka kushoto ni Abdul Ridhiwani,Eddo Sanga,Othumani Kambi na Juma Katundu pamoja na Mustafa Pishuu |
Wasanii Hamisi Mnyupe kushoto na Romani Mng'ande wakiwajibika jukwaani. Picha na www.burudan.blogspot.com


Ni uamuzi wa busara sana Maalim Sheikh Muhiddin ameufanya.
ReplyDeleteMwenyezi Mungu ampe nafasi nzuri ya kuutumia muda wake baada ya kustaafu kwa kumuelekea yeye Mwenyezi zaidi na kuomba Shufaa na Rehma kwake!
Amiiiiiin.
Afadahli Sheikh arudi Masjid sasa!
ReplyDeleteNi muhimu Kustaafu ktk kila kitu, Muziki, maji na Moshi Mzito kwa Mapumzioko mema!
ReplyDeleteKtk Maisha ni Mafanikio makubwa sana binaadamu unapofanikiwa kuachana na:
ReplyDelete1.Uzinzi
2.Ulevi
3.Bangi
4.Madawa
5.Wizi
Kiongozi atasaidia sana kuwaweka Vijana nyuma yake katika msitari mnyoofu!