Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Pofesa Hermas Mwansoko akifafanua jamba kwa wageni wake kutoka Msumbiji walipotembelea ofisini kwake jana ili kujifunza namna kuendesha mradi wa Ukombozi barani Afrika ambapo Tanzania ndiyo makao makuu ya mradi huo.
Mshauri Msaidizi wa Masuala ya Viza kutoka Ubalozi wa Msumbiji hapa nchini Daniel Rui Simao akifafanua jambo katika wakati wa mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni hayupo pichani, kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Wapigania Uhuru kutoka Msumbiji Vicente Joao Kovek na Chifu wa Idara ya Wapinania Uhuru kutoka Msumbiji Joao Antonio Nchoyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Wapigania Uhuru kutoka Msumbiji Vicente Joao Kovek akifafanua jambo wakati waliofanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya mendeleo ya Utamaduni wa Tanzania hayupo pichani jana jijini Dar es Salaam,kulia ni Chifu wa Idara ya Wapinania Uhuru kutoka Msumbiji Joao Antonio Nchoyo.
Kutoka kulia ni Chifu wa Idara ya Wapigania Uhuru kutoka Msumbiji Joao Antonio Nchoyo, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Pofesa Hermas Mwansoko,Mkurugenzi wa Idara ya Wapigania Uhuru kutoka Msumbiji Vicente Joao Kovek,Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Bibi Joyce Hagu, Mshauri Msaidizi wa Masuala ya Viza kutoka Ubalozi wa Msumbiji hapa nchini Daniel Rui Simao.na Mratibu wa Mradi wa Harakati za Ukombozi Barani Afika Tanzania Leah Elias Kihimbi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mazungumzo kuhusu namna ya kuendesha Mradi wa Harakati za Ukombozi Barani Afrika

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...