Balozi wa Malaria ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodger Tenga akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa malaria iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya maofisa wa NSSF wakiwa katika uzinduzi huo.  

 Baadhi ya wadau waliohudhuria hafla hiyo.
 Baadhi ya maofisa wa NSSF wakiwa katika uzinduzi huo.  

 Balozi wa Malaria ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodger Tenga akipeana mkono na Meneja Kiongozi, Uhusiano Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa malaria iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

 Meneja wa Mafao ya Matibabu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ali Mtulia akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa malaria kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) pamoja na NSSF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. mnafanya vizuri kuweka kikao cha kupigana na malaria lakini cha msingi hapo sio kuuza net biashara za bush kupunguza malaria ni kuua mazalio ya malaria. Ambapo ni kunyunyiziwa dawa kwenye maji yalio tuwama, kama ilivyokuwa enzi za mkoloni municipality city, nyumba hadi nyumba kutiwa dawa, taka zinachukuliwa kila sikuat least hapo mtakuwa mmefanya kitu other wise kikao kitakua ni cha kula pesa za wananchi.

    ReplyDelete
  2. Ni kweli kabisa, lakini pia ni aibu. Pamoja na kujua kwamba kupiga vita mazalia ya mbu ndio ingestahili kupewa kipaumbele, kipaumbele cha kwanza na biashara ya vyandarua !

    ReplyDelete
  3. Pia msisahau kukusanya michango toka kwa waajiri mafisadi wanaokata wafanyakazi pesa lakini hawakilishi michango. Baadhi ya wakaguzi wenu wakifika kwenye maofisi wanapewa hela wanaondoka bila kufanya kilichowapeleka. Inawezekanaje mwajiri asipeleka michango ya wafanya kazi kwa miaka zaidi ya 2.???
    Hadhi yenu inashuka!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...