Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Zahra Kayugwa, akigawa uji kwa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha New Orphanage, Kigogo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kaimu Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Upendo Mazzuki, akigawa uji kwa watoto.
Watoto pamoja na walezo wa kituo cha kulea watoto yatima cha New Orphanage wakifuturu pamoja na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Afisa wa Mfuko wa PPF, Kanda ya Kinondoni, John Nyalusi, akiwapa chakula watoto wakati wa futari.
Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Zainab Ndullah (Kushoto) na Nelu Mwalugaja, wakigawa chakula.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Money well spent, congrats PPF. Hayo mafutari mengine ya wakubwa etc etc I doubt if they are worth reporting. Thanks so much PPF for showing us on how it should be done.

    ReplyDelete
  2. na mikoani pia kuna yatima

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...