Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Bw.Teo Siong Seng Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore ikulu jijini Dar es Salaam leo .
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Bw.Teo Siong Seng Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore(wanne kushoto) na ujumbe wake ikulu jijini Dar es Salaam leo.(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hebu tueleweshwe huyu balozi wa heshima ndio nini?????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...