Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Biashara za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Nchini Uholanzi Bibi.Lilianne Ploumen,alipofika Ofisini kwake Mjini The Hague jana akiwana ujumbe wake katika ziara ya siku tano Nchini humo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) na Ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na Viongozi wa Serikali Nchini Uholanzi,chini ya Kiongozi wao Waziri wa Biashara za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bibi.Lilianne Ploumen,(wa pili kushoto) katika Ofisi yake katika Mji wa The Hague Nchini Uholanzi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Waziri wa Biashara za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bibi.Lilianne Ploumen,nje ya Ofisi yake katika Mji wa The Hague Nchini Uholanzi,akiwa katika ziara ya siku tano katika Mji huo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell Peter Voser,alipofika katika Makamo Makuu ya Kampuni hiyo katika Mji wa The Hague Nchini Uholanzi jana akiwa katika ziara ya siku tano na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell Peter Voser,(katikati) wakiwa katika mazungumzo ya pamoja na Waziri wa Ardhi,Maji Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,(kulia) na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto) mara baada ya kuwasili mkatika Mako Makuu ya kampuni hiyo Mjini The Hague akiwa katika ziara ya Ushirikiano katika kukuza Uchumi.
Kiongozi anayeshuhulikia masuala ya Uvumbuzi wa mafuta katika nchi zilizo chini ya Jangwa la Sahara,Alastair Milne,(kushoto) akijibu suala wakati wa mazungumzo kati ya Kamapuni ya Mafuta ya Dutch Shell na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya siku tano na ujumbe wake Nchini Uholanzi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)akifafanua jambo wakati wa mazungumzo kati ya Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,katika ukumbi wa Makamo Makuu ya Kampuni hiyo Mjini The Hague nchini Uholanzi,(kutoka kulia) Waziri wa Ardhi,Maji Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban, Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell Peter Voser,(kushoto) Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi Mahadhi Juma Maalim,na John Crocker,ni miongozi mwa Viongozi wa Kampuni ya Shell.Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.
Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...