Swahili TV ilifanya mahojiano exclusive na Ammy Nando katika Jiji la Los Angeles, USA. Ammy ambaye kwa sasa anajulikana kama Army Nando, Mtanzania mwenye makazi yake katika jimbo la California, aliyeshiriki Big Brother Africa season 8 "The Chase" na hatimaye kutolewa . Katika video hii Nando amefunguka kuhusu kilichomfanya atolewe mjengoni, maisha ya mle ndani na pia ameweka bayana mipango yake ya baadaye, nini kinachofuata baada ya BBA.
Kwa interview zaidi tembelea
www.swahilitv.blogspot.com
www.swahilitv.info
Kwa interview zaidi tembelea
www.swahilitv.blogspot.com
www.swahilitv.info


Nimeisikiliza hii interview kweli like son like mother - the mother cannot comment about sex in bba - lol
ReplyDeleteKwa mitazamo hiyo ya mzazi na mwana huko, marekani kaeni wenyewe na aina hiyo ya wazazi wenu,mimi na wazazi wangu tutaendelea kuishi kwetu msanga ngongele mpaka mwisho wa maisha yetu.
ReplyDeleteHaahaaaa haaa uwiiiiiii mdau hapo juu umenivunja mbavu eti Ngongele mpaka mwisho wa maisha yetu lol hahaa haa
ReplyDelete