KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA LINDI INATANGAZA NAFASI YA MRATIBU WA KLABU.

SIFA ZA WAOMBAJI:
1.     AWE MTANZANIA MWENYE UMRI USIOPUNGUA MIAKA 25
2.     AWE NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE AU ZAIDI
3.     AWE NA UWEZO WA KUTUMIA KOMPYUTA KWA UFASAHA
4.     MWENYE UWEZO WA KUUNGANISHA WADAU NA WANAHABARI
5.    AWE NA UWEZO WA KUBUNI NA KUTAYARISHA ANDIKO LA          MRADI  

MAOMBI YATUMWE KABLA YA MWEZI JULAI 30, 2013 KWA :

MWENYEKITI  LINDI PRESS CLUB  P.O.BOX 404-LINDI  
BARUA ZA MAOMBI ZIAMBATANISHWE NA VYETI VIVULI VYA ELIMU , CV NA MAJINA NA ANUANI ZA WADHAMINI WAWILI.  

KWA MAWASILIANO ZAIDI  FIKA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO JENGO LA Y2K ZAMANI NOVELTY CINEMA MAKUTANO YA BARABARA YA KARUME NA ELIET MJINI LINDI AU PIGA SIMU NAMBA:0787176221  AU  0754052060  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. TANZANIA????? AGE DISCRIMINATION THAT IS PURE STIGMA.WIZARA YA KAZI ,HAKI ZA RAIA KIGEZO CHA UMRI NCHI ZA WATU HAZINA HILO.UWEZO KWA KILA RAIA MWENYE UWEZO NA SIFA ZA KUFANYA KAZI. BADO TUNA MWENDO MREFU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...