Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Meneja wa Timu ya Jamhuri,Abdallah Mohamed (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.

Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Katibu Kamati ya Waamuzi Zanzibar,Muhsin Rajab (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...