IMG_3480
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyampulukano ya Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wakati alipotembelea shuleni hapo kuhamasisha Wanafunzi kuanzisha Vilabu vya Umoja wa Mataifa.
IMG_3489
Mmoja wa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyampulukano ya mjini Sengerema akiuliza maswali kwa Bi. Usia Nkhoma Ledama (hayupo pichani).
IMG_3526
Mwalimu wa Shule Sekondari Nyampulukano ya Wilayani Sengerema akizungumza jambo na Wanafunzi wake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...