Makamu mwenyekiti wa UTPC Bi  Jane Mihanji akitoa  tamko  la UTPC dhidi ya  Chadema  kutaka  kutumia  kifo cha Mwangosi kisiasa.
 Rais  wa  UTPC Bw  Keneth  Simbaya kushoto akimpongeza makamu wake Bi Jane Mihanjo kwa tamko zuri alilolitoa.
Wajumbe  wa bodi  ya  UTPC wakiwa katika  picha ya pamoja na viongozi wa juu wa UTPC baada ya kutolewa tamko la kupinga uamuzi wa Chadema kutaka  kushirikiana na IPC katika ujenzi wa mnala wa marehemu Daudi Mwangosi ,kutoka kushoto ni makamu mwenyekiti Jane Mihanjo ,Rais wa UTPC Keneth Simbaya  na mkurugenzi wa UTPC Bw.Abubakar Karsan

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Je kama ndugu wa Marehemu ndio wanataka kufanya hivyo, wandishi mnaweza kuwakatalia. Je ninyi na wanafamilia ni nani mwenye maamuzi ya mwisho kwenye kuweka kumbukumbu za marehemu wao?

    ReplyDelete
  2. Duh Mnala ndio nini jamani??? Kiswahili chetu mankiharibu kabisa headline inakiswahili kibovu ndio maana hata English not reachable kabisaaa

    ReplyDelete
  3. MDAU WA KWANZA, FAMILIA INAKUJAJE HAPA? MAANA SIJAONA POPOTE PANAPOHUSISHA FAMILIA KUHITAJI MNARA KATIKA HII HABARI, UNAHISI AU UNAAGUA?

    ReplyDelete
  4. Na ndio tatizo kubwa la wanajamii wetu, kukosa uelewa!
    Kwani ni lini familia zimepewa haki ya kuamua dhidi ya taratibu?
    Au mtoa mada wa kwanza nawe ni mfuasi wq CHADEMA? Maana kwa mastaajabu mara nyingi maamuzi ya chama hicho hukosa busara

    ReplyDelete
  5. Hebu CHADEMA badala ya kung'ang;ania kujenga mnara hebu jiimarisheni kwanza kwa kujenga hata ofisi zenu za chama hasa huku Zanzibar, hiyo fahari ambayo siku zote ni mama wa ujinga haina tija!!!!Fikirieni mambo ya maana badala ya kuibia fikra za chuki na uhasama, mnara ndio nini? Na kama ingebidi basi nadhani mashujaa kama Marehemu Chacha Wangwe ndio wangeanza kufikiriwa angalau kuimarishwa lile kaburi lake tu, lakini ni niongozi gani ambae amefikiria hata kulitembelea na kuomba dua?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...