Ngoooshaaa ukipenda
waweza muita Fareed Kubanda kwa jina alilopewa na Wazazi wake na pia
waweza muita Fid Q akikamua na msanii mwenzake Izzo Bussines ndani ya Uwanja wa New City Pub,
jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Mwanadada nguli katika tasnia ya Muziki hapa nchini, Muite Bint
Komando au Lady Jaydee akifanya vitu vyake ndani ya jukwaa moja la
Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013, lililofanyika kwenye New City Pub, jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Wakazi wa Mbeya wakionyesha furaha yao kwa kupunga mikono juu.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Wakazi wa Mbeya wakionyesha furaha yao kwa kupunga mikono juu.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...