Mkuu wa Huduma za M-Pesa, Bw. Jackson Kiswaga (kulia) anamsikiliza Bw. Khalfani A. Khalfani (kushoto) mmiliki wa shule ya Answar, iliyoko Dar es Salaam, wakati wa mkutano wa kutoa elimu kwa wakuu wa shule kuhusu utumiaji wa huduma ya M-Pesa kulipa karo. Mkutano huo uliandaliwa na kampuni ya Vodacom pamoja na Elimu Solutions. Mkutano huo ulifanyika siku ya Jumamosi jijini Dar es Salaam. Katikati ni Bw. Nixon Bonaventure kutoka kampuni ya Vodacom.
Home
Unlabelled
Wakuu wa Shule waelimishwa kuhusu M-Pes
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...